Psalms 107:35 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aligeuza majangwa kuwa mabwawa ya maji, na nchi kame kuwa chemchemi za maji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji, nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zinazotiririka;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Amegeuza jangwa ikawa ziwa la maji, Na nchi kavu ikawa chemchemi za maji.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aligeuza majangwa kuwa mabwawa ya maji, na nchi kame kuwa chemchemi za maji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji, nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji, nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Amegeuza jangwa likawa ziwa la maji, Na nchi kavu ikawa chemchemi za maji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aligeuza majangwa kuwa mabwawa ya maji, na nchi kame kuwa chemchemi za maji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena nyika aliigeuza kuwa bwawa lenye maji mengi, nayo nchi kavu akaitokeza mboji za maji,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Amegeuza jangwa ikawa ziwa la maji, Na nchi kavu ikawa chemchemi za maji.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Aligeuza jangwa kuwa ziwa, na inchi ya kukauka kuwa chemichemi za maji.