Psalms 107:37 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, wakavuna mazao kwa wingi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakapanda mbegu katika mashamba, Na kutia mizabibu iliyotoa matunda yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, wakavuna mazao kwa wingi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakapanda mbegu katika mashamba, Na kutia mizabibu iliyotoa matunda yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, wakavuna mazao kwa wingi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakalima mashamba, wakapanda mizabibu, wakajipatiamo matunda, ndio malipo ya kazi zao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakapanda mbegu katika mashamba, Na kutia mizabibu iliyotoa matunda yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, wakavuna mazao kwa wingi.