Psalms 109:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu waovu na wadanganyifu wanishambulia, wanasema uongo dhidi yangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana wamenifumbulia kinywa; Kinywa cha mtu asiye haki, cha hila, Wamesema nami kwa ulimi wa uongo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu waovu na wadanganyifu wanishambulia, wanasema uongo dhidi yangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana vinywa viovu na vyenye hila vimefumbuliwa juu yangu, Vikinisema kwa ulimi wa uongo, Wamesema nami kwa ulimi wa uongo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu waovu na wadanganyifu wanishambulia, wanasema uongo dhidi yangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani waisokucha na wadanganyifu wamenifumbulia vinywa, wakasema na mimi kwa ndimi zilizo zenye uwongo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana wamenifumbulia kinywa; Kinywa cha mtu asiye haki, cha hila, Wamesema nami kwa ulimi wa uongo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu waovu na wadanganyifu wananishambulia, wanasema uongo juu yangu.