Psalms 11:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
maana waovu wanavuta pinde; wameweka mishale tayari juu ya uta, wawapige mshale watu wema gizani!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hebu tazama, waovu wanapinda nyuta zao; wanaweka mishale kwenye nyuzi zake ili wakiwa gizani, wawapige walio wanyofu wa moyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana, tazama, wasio haki wanaupinda uta, Wanaitia mishale yao katika upote, Ili kuwapiga gizani wanyofu wa moyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
maana waovu wanavuta pinde; wameweka mishale tayari juu ya uta, wawapige mshale watu wema gizani!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao, huweka mishale kwenye uzi wake, wakiwa gizani ili kuwapiga wanyofu wa moyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao, huweka mishale kwenye uzi wake, wakiwa gizani ili kuwapiga wale wanyofu wa moyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana, tazama, wasio haki wanaupinda uta, Wanaitia mishale yao katika uta, Ili kuwapiga gizani wanyofu wa moyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
maana waovu wanavuta pinde; wameweka mishale tayari juu ya uta, wawapige mshale watu wema gizani!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani watazameni wasiomcha Mungu, wanapinda pindi, wakapachika mishale penye upote, wapige gizani wanyokao mioyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana, tazama, wasio haki wanaupinda uta, Wanaitia mishale yao katika upote, Ili kuwapiga gizani wanyofu wa moyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
maana waovu wanavuta pinde; wameweka mishale tayari juu ya kamba, kusudi wawapige mishale watu wenye moyo wa usawa katika giza!