Psalms 112:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu waovu huona hayo na kuudhika; husaga meno kwa chuki na kutoweka, matazamio ya mtu mbaya huishia patupu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuyeyuka, Tamaa ya wasio haki itapotea.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu waovu huona hayo na kuudhika; husaga meno kwa chuki na kutoweka, matazamio ya mtu mbaya huishia patupu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuondoka, Matumaini ya wasio haki hupotea.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu waovu huona hayo na kuudhika; husaga meno kwa chuki na kutoweka, matazamio ya mtu mbaya huishia patupu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Asiyemcha Mungu anaviona na kukasirika, hukereza meno, mwisho hupotea, tamaa zao wasiomcha Mungu huangamia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuyeyuka, Tamaa ya wasio haki itapotea.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu waovu wanaona hayo na kuuzika. Wanasaga meno kwa chuki na kutoweka. Matumaini ya mutu mubaya yanapotea bure.