Psalms 112:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mkarimu akopeshaye bila faida, hufanikiwa; mtu afanyaye shughuli zake kwa kutumia haki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mkarimu akopeshaye bila faida, hufanikiwa; mtu afanyaye shughuli zake kwa kutumia haki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mkarimu akopeshaye bila faida, hufanikiwa; mtu afanyaye shughuli zake kwa kutumia haki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu mwenye huruma kwa kukopesha ataona mema, yeye atayatengeneza mashauri yake, yashinde kwenye hukumu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu muzuri anakopesha bila faida; anafanya shuguli zake kwa kutumia haki.