Psalms 115:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Enyi wazawa wa Aroni, mtumainieni Mwenyezi-Mungu; yeye ndiye msaada wenu na ngao yenu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ee nyumba ya Haruni, mtumainini Mwenyezi Mungu, yeye ni msaada na ngao yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Enyi mlango wa Haruni, mtumainini Bwana; Yeye ni msaada wao na ngao yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Enyi wazawa wa Aroni, mtumainieni Mwenyezi-Mungu; yeye ndiye msaada wenu na ngao yenu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ee nyumba ya Aroni, mtumainini BWANA, yeye ni msaada na ngao yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ee nyumba ya Haruni, mtumainini bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Enyi mlango wa Haruni, mtumainini BWANA; Yeye ni msaada wao na ngao yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Enyi wazawa wa Aroni, mtumainieni Mwenyezi-Mungu; yeye ndiye msaada wenu na ngao yenu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ninyi mlio wa mlango wa Haroni, mwegemeeni Bwana! Yeye ni msaada wao na ngao yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Enyi mlango wa Haruni, mtumainini BWANA; Yeye ni msaada wao na ngao yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Enyi wazao wa Haruni, mumutumainie Yawe; yeye ndiye musaada wenu na ngao yenu.