Psalms 115:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Miungu yao ni ya fedha na dhahabu; imetengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sanamu zao ni fedha na dhahabu, Kazi ya mikono ya wanadamu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Miungu yao ni ya fedha na dhahabu; imetengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sanamu zao ni fedha na dhahabu, Kazi ya mikono ya wanadamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Miungu yao ni ya fedha na dhahabu; imetengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vinyago vyao ni fedha na dhahabu, mikono ya watu ndiyo iliyovifanya:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sanamu zao ni fedha na dhahabu, Kazi ya mikono ya wanadamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Miungu yao ni ya feza na zahabu; imetengenezwa kwa mikono ya wanadamu.