Psalms 116:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nilikuwa na imani hata niliposema: “Mimi nimetaabika mno.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nilimwamini Mwenyezi Mungu, niliposema, “Mimi nimeteseka sana.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naliamini, kwa maana nitasema, Mimi naliteswa sana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nilikuwa na imani hata niliposema: “Mimi nimetaabika mno.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nilidumisha imani yangu, hata niliposema, Mimi nateseka sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nilikuwa na imani hata niliposema: “Mimi nimetaabika mno.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nilikuwa nimemtegemea, kwa hiyo na niseme! Lakini nimeteseka sana mimi nami.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naliamini, kwa maana nitasema, Mimi naliteswa sana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nilikuwa na imani hata niliposema: “Mimi nimetaabika sana.”