Psalms 116:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hata nilisema kwa hofu yangu: “Binadamu wote hawaaminiki!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mimi nalisema kwa haraka yangu, Wanadamu wote ni waongo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hata nilisema kwa hofu yangu: “Binadamu wote hawaaminiki!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nikiwa katika hangaiko langu nikasema, Wanadamu wote ni waongo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hata nilisema kwa hofu yangu: “Binadamu wote hawaaminiki!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hapo, niliposhikwa na woga, nilisema mimi: Watu wote walioko ni wenye uwongo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mimi nalisema kwa haraka yangu, Wanadamu wote ni waongo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hata nilisema kwa hofu yangu: “Wanadamu wote hawawezi kutumainiwa!”