Psalms 116:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nitakutolea tambiko za shukrani, na kukupa heshima zangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Mwenyezi Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nitakutolea dhabihu ya kushukuru; Na kulitangaza jina la Bwana;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nitakutolea tambiko za shukrani, na kukupa heshima zangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la BWANA.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la bwana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nitakutolea dhabihu ya kushukuru; Na kulitangaza jina la BWANA;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nitakutolea tambiko za shukrani, na kukupa heshima zangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nitakutolea wewe vipaji vya tambiko vya kukushukuru, kisha nitalitambikia Jina lake Bwana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nitakutolea dhabihu ya kushukuru; Na kulitangaza jina la BWANA;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nitakutolea sadaka za shukrani. Nitaomba kwa jina la Yawe.