Psalms 119:110 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waovu wamenitegea mitego, lakini sikiuki kanuni zako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waovu wamenitegea mtego, lakini sijayakiuka maagizo yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Watendao uovu wamenitegea mtego, Lakini sikuikosa njia ya mausia yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waovu wamenitegea mitego, lakini sikiuki kanuni zako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waovu wamenitegea mtego, lakini sijayakiuka maagizo yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waovu wamenitegea mtego, lakini sijayakiuka maagizo yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Watendao uovu wamenitegea mtego, Lakini sitoki katika njia ya mausia yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waovu wamenitegea mitego, lakini sikiuki kanuni zako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wamenitegea matanzi wao wasiokucha, lakini sikupotea na kuziacha hizo amri zako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Watendao uovu wamenitegea mtego, Lakini sikuikosa njia ya mausia yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waovu wamenitegea mitego, lakini sigeuki mbali na kanuni zako.