Psalms 119:118 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Unawakataa wote wanaokiuka masharti yako; mawazo yao maovu ni ya bure.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako, kwa maana udanganyifu wao ni bure.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Umewakataa wote wazikosao amri zako, Kwa maana hila zao ni uongo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Unawakataa wote wanaokiuka masharti yako; mawazo yao maovu ni ya bure.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako, kwa maana udanganyifu wao ni bure.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako, kwa maana udanganyifu wao ni bure.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Umewakataa wote wazikosao amri zako, Kwa maana hila zao ni bure.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Unawakataa wote wanaokiuka masharti yako; mawazo yao maovu ni ya bure.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Unawatupa wote wapoteao na kuyaacha maongozi yako, kwani udanganyifu wao ni wa bure.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Umewakataa wote wazikosao amri zako, Kwa maana hila zao ni uongo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Unawakataa wote wanaogeuka mbali na masharti yako; mawazo yao maovu ni ya bure.