Psalms 119:128 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, nafuata kanuni zako zote; kila njia potovu naichukia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili, nachukia kila njia potovu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana nayaona mausia yako yote kuwa ya adili, Kila njia ya uongo naichukia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, nafuata kanuni zako zote; kila njia potovu naichukia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili, nachukia kila njia potovu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili, nachukia kila njia potovu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana nayafuata mausia yako yote, kuwa ya adili, Kila njia ya uongo naichukia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, nafuata kanuni zako zote; kila njia potovu naichukia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani ninaziwazia amri zako zote kuwa za wongofu, lakini njia yo yote ya uwongo nimechukizwa nayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana nayaona mausia yako yote kuwa ya adili, Kila njia ya uongo naichukia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo, ninafuata kanuni zako zote; ninachukia kila njia ya upotovu.