Psalms 119:130 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maelezo ya mafundisho yako huleta mwanga; huwapa akili watu wasiojua kitu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru, kunampa mjinga ufahamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kufafanusha maneno yako kwatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maelezo ya mafundisho yako huleta mwanga; huwapa akili watu wasiojua kitu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru, kunampa mjinga ufahamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru, kunampa mjinga ufahamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kufafanuliwa kwa maneno yako kunatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maelezo ya mafundisho yako huleta mwanga; huwapa akili watu wasiojua kitu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maneno yako yakifunuliwa huangaza, huwapa utambuzi nao waliopumbaa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kufafanusha maneno yako kwatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maelezo ya mafundisho yako yanaleta mwangaza; yanawapa akili wajinga.