Psalms 119:136 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Macho yangu yabubujika machozi kama mto, kwa sababu watu hawaishiki sheria yako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Chemchemi za machozi zinatiririka machoni yangu, kwa kuwa sheria yako haifuatwi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Macho yangu yachuruzika mito ya maji, Kwa sababu hawaitii sheria yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Macho yangu yabubujika machozi kama mto, kwa sababu watu hawaishiki sheria yako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni pangu, kwa kuwa sheria yako haifuatwi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu, kwa kuwa sheria yako haifuatwi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Macho yangu yachuruzika mito ya machozi, Kwa sababu hawaitii sheria yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Macho yangu yabubujika machozi kama mto, kwa sababu watu hawaishiki sheria yako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Macho yangu yanatoka vijito vya maji kwa ajili yao wasioyashika Maonyo yako na kuyafuata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Macho yangu yachuruzika mito ya maji, Kwa sababu hawaitii sheria yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Macho yangu yanatiririka machozi kama muto, kwa sababu watu hawaishiki sheria yako.