Psalms 119:142 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Uadilifu wako ni wa haki milele; sheria yako ni ya kweli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Haki yako ni ya milele, na sheria yako ni kweli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Haki yako ni haki ya milele, Na sheria yako ni kweli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Uadilifu wako ni wa haki milele; sheria yako ni ya kweli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Haki yako ni ya milele, na sheria yako ni kweli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Haki yako ni ya milele, na sheria yako ni kweli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Haki yako ni haki ya milele, Na sheria yako ni kweli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Uadilifu wako ni wa haki milele; sheria yako ni ya kweli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wongofu wako ndio wongofu ulio wa kale na kale, nayo Maonyo yako ndiyo ya kweli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Haki yako ni haki ya milele, Na sheria yako ni kweli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Haki yako ni haki ya milele; sheria yako ni ya kweli.