Psalms 119:158 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Niwaonapo wahaini hao nachukizwa mno, kwa sababu hawazishiki amri zako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ninawatazama wasioamini kwa chuki, kwa kuwa hawalitii neno lako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nimewaona watendao uhaini nikachukizwa, Kwa sababu hawakulitii neno lako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Niwaonapo wahaini hao nachukizwa mno, kwa sababu hawazishiki amri zako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ninawatazama wasioamini kwa chuki, kwa kuwa hawalitii neno lako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ninawatazama wasioamini kwa chuki, kwa kuwa hawalitii neno lako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nimewaona watendao uhaini nikachukizwa, Kwa sababu hawakulitii neno lako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Niwaonapo wahaini hao nachukizwa mno, kwa sababu hawazishiki amri zako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nikiwatazama waliorudi nyuma kwa udanganyifu najiliwana kutapika, kwa kuwa hawakulishika Neno lako na kulifuata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nimewaona watendao uhaini nikachukizwa, Kwa sababu hawakulitii neno lako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninapowaona waasi hao ninachukizwa sana, kwa sababu hawashiki amri zako.