Psalms 119:164 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nakusifu mara saba kila siku, kwa sababu ya maagizo yako adili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mara saba kila siku nakusifu, Kwa sababu ya hukumu za haki yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nakusifu mara saba kila siku, kwa sababu ya maagizo yako adili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mara saba kila siku nakusifu, Kwa sababu ya hukumu za haki yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nakusifu mara saba kila siku, kwa sababu ya maagizo yako adili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ninakushangilia kila siku mara saba zote kwa ajili ya wongofu wako wa kuamulia watu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mara saba kila siku nakusifu, Kwa sababu ya hukumu za haki yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninakusifu mara saba kila siku, kwa sababu ya maamuzi yako ya haki.