Psalms 119:176 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Natangatanga kama kondoo aliyepotea; uje kunitafuta mimi mtumishi wako, maana sikusahau amri zako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea. Mtafute mtumishi wako, kwa kuwa sijasahau amri zako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nimetanga-tanga kama kondoo aliyepotea; Umtafute mtumishi wako; Kwa maana sikuyasahau maagizo yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Natangatanga kama kondoo aliyepotea; uje kunitafuta mimi mtumishi wako, maana sikusahau amri zako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea. Mtafute mtumishi wako, kwa kuwa sijasahau amri zako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea. Mtafute mtumishi wako, kwa kuwa sijasahau amri zako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea; Umtafute mtumishi wako; Kwa maana sikuyasahau maagizo yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Natangatanga kama kondoo aliyepotea; uje kunitafuta mimi mtumishi wako, maana sikusahau amri zako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nikipotelewa na njia kama kondoo aliyepotea, mtafute mtumishi wako! Kwani sikuyasahau maagizo yako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nimetanga-tanga kama kondoo aliyepotea; Umtafute mtumishi wako; Kwa maana sikuyasahau maagizo yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninatangatanga kama kondoo aliyepotea; ukuje kunitafuta mimi mutumishi wako, maana sikusahau amri zako.