Psalms 119:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wewe wawakemea wenye kiburi, walaanifu, ambao wanakiuka amri zako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa, wanaoenda mbali na amri zako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Umewakemea wenye kiburi, Wamelaaniwa waendao mbali na maagizo yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wewe wawakemea wenye kiburi, walaanifu, ambao wanakiuka amri zako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa waendao mbali na amri zako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa waendao mbali na amri zako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Umewakemea wenye kiburi, Wamelaaniwa waendao mbali na maagizo yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wewe wawakemea wenye kiburi, walaanifu, ambao wanakiuka amri zako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Uliwakaripia wenye majivuno, wakawa wameapizwa, wakapotea kwa kuyaacha maagizo yako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Umewakemea wenye kiburi, Wamelaaniwa waendao mbali na maagizo yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wewe unawakaripia wenye kiburi waliolaaniwa, ambao wanageuka mbali na amri zako.