Psalms 119:53 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nashikwa na hasira kali, nionapo waovu wakivunja sheria yako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu, ambao wameacha sheria yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ghadhabu imenishika kwa sababu ya wasio haki, Waiachao sheria yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nashikwa na hasira kali, nionapo waovu wakivunja sheria yako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu, ambao wameacha sheria yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu, ambao wameacha sheria yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ghadhabu kuu imenishika kwa sababu ya wasio haki, Waiachao sheria yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nashikwa na hasira kali, nionapo waovu wakivunja sheria yako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Makali yenye moto yalikuwa yamenishika kwa ajili yao wasiokucha, walioyaacha nayo Maonyo yako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ghadhabu imenishika kwa sababu ya wasio haki, Waiachao sheria yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninashikwa na hasira kali, ninapoona waovu wakivunja sheria yako.