Psalms 119:74 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakuchao wataniona na kufurahi, maana tumaini langu liko katika neno lako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale wanaokucha na wafurahie wanaponiona, kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika neno lako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakuchao na wanione na kufurahi, Kwa sababu nimelingojea neno lako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakuchao wataniona na kufurahi, maana tumaini langu liko katika neno lako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakuchao wafurahie wanaponiona, kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika neno lako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakuchao wafurahie wanaponiona, kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika neno lako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakuchao na wanione na kufurahi, Kwa sababu nimelitumainia neno lako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakuchao wataniona na kufurahi, maana tumaini langu liko katika neno lako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakuogopao hufurahi wakiniona mimi, kwani Neno lako ndilo, ninalolingojea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakuchao na wanione na kufurahi, Kwa sababu nimelingojea neno lako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanaokuheshimu wataniona na kufurahi, maana tumaini langu liko katika neno lako.