Psalms 119:78 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wenye kiburi waaibike kwa maana wamenifanyia hila, lakini mimi nitazitafakari kanuni zako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu, lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wenye kiburi waaibike, maana wamenidhulumu kwa uongo, Mimi nitayatafakari mausia yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wenye kiburi waaibike kwa maana wamenifanyia hila, lakini mimi nitazitafakari kanuni zako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu, lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu, lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wenye kiburi waaibike, maana wamenidhulumu kwa uongo, Mimi nitayatafakari mausia yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wenye kiburi waaibike kwa maana wamenifanyia hila, lakini mimi nitazitafakari kanuni zako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wenye majivuno watapatwa na soni, kwani hunipotoa bure, lakini moyoni mwangu mimi ninaziwaza amri zako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wenye kiburi waaibike, maana wamenidhulumu kwa uongo, Mimi nitayatafakari mausia yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wenye kiburi wafezeheke, maana wananisumbua na maneno ya uongo, lakini mimi nitafikiri juu ya kanuni zako.