Psalms 131:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ila nafsi yangu imetulia na kuwa na amani, kama mtoto mchanga alivyotulia na mama yake; ndivyo nafsi yangu ilivyo tulivu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyo ndani yangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hakika nimeituliza nafsi yangu, Na kuinyamazisha. Kama mtoto aliyeachishwa Kifuani mwa mama yake; Kama mtoto aliyeachishwa, Ndivyo roho yangu ilivyo kwangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ila nafsi yangu imetulia na kuwa na amani, kama mtoto mchanga alivyotulia na mama yake; ndivyo nafsi yangu ilivyo tulivu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hakika nimeituliza nafsi yangu, Na kuinyamazisha. Kama mtoto aliyeachishwa kunyonya Kifuani mwa mama yake; Roho yangu ni kama mtoto, Aliyeachishwa kunyonya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ila nafsi yangu imetulia na kuwa na amani, kama mtoto mchanga alivyotulia na mama yake; ndivyo nafsi yangu ilivyo tulivu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
lakini nimeituliza roho yangu, nikainyamazisha. Kama mtoto anavyotulia kifuani kwa mama yake akiisha kuzoezwa, asinyonye tena, ndivyo, roho yangu inavyotulia kifuani mwangu, ikiwa kama mtoto aliyezoezwa hivyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hakika nimeituliza nafsi yangu, Na kuinyamazisha. Kama mtoto aliyeachishwa Kifuani mwa mama yake; Kama mtoto aliyeachishwa, Ndivyo roho yangu ilivyo kwangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini nafsi yangu imetulia na kuwa na amani, kama mutoto muchanga anavyotulia na mama yake; ndivyo nafsi yangu inavyokuwa na utulivu.