Psalms 143:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maadui zangu wamenifuatia; wameniangusha chini kabisa wameniketisha gizani kama mtu aliyekufa zamani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Adui hunifuatilia, hunipondaponda chini; hunifanya niishi gizani kama wale waliokufa zamani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana adui ameifuatia nafsi yangu, Ameutupa chini uzima wangu. Amenikalisha mahali penye giza, Kama watu waliokufa zamani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maadui zangu wamenifuatia; wameniangusha chini kabisa wameniketisha gizani kama mtu aliyekufa zamani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Adui hunifuatilia, hunipondaponda chini; hunifanya niishi gizani kama wale waliokufa zamani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Adui hunifuatilia, hunipondaponda chini; hunifanya niishi gizani kama wale waliokufa zamani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana adui ameifuatia nafsi yangu, Ameutupa chini uzima wangu. Amenikalisha mahali penye giza, Kama watu waliokufa zamani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maadui zangu wamenifuatia; wameniangusha chini kabisa wameniketisha gizani kama mtu aliyekufa zamani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani adui yangu ameikimbiza roho yangu, akaniponda na kuniangusha chini akitaka kuniua, akanikalisha kwenye giza kama wao waliokufa kale.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana adui ameifuatia nafsi yangu, Ameutupa chini uzima wangu. Amenikalisha mahali penye giza, Kama watu waliokufa zamani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waadui zangu wamenifuatilia, wameniangusha chini kabisa, wameniikalisha katika giza kama mutu aliyekufa zamani.