Psalms 144:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye ni rafiki yangu amini na ngome yangu, kinga yangu na mkombozi wangu; yeye ni ngao yangu, kwake napata usalama; huyashinda mataifa na kuyaweka chini yangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye ni Mungu wangu wa upendo na ulinzi wangu, ngome yangu na mwokozi wangu, ngao yangu, ninayemkimbilia, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mhisani wangu na boma langu, Ngome yangu na mwokozi wangu, Ngao yangu niliyemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye ni rafiki yangu amini na ngome yangu, kinga yangu na mkombozi wangu; yeye ni ngao yangu, kwake napata usalama; huyashinda mataifa na kuyaweka chini yangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye ni Mungu wangu wa upendo na boma langu, ngome yangu na mwokozi wangu, ngao yangu ninayemkimbilia, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye ni Mungu wangu wa upendo na boma langu, ngome yangu na mwokozi wangu, ngao yangu ninayemkimbilia, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwamba wangu na ngome yangu, Nguzo yangu na mwokozi wangu Ngao yangu ninayemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye ni rafiki yangu amini na ngome yangu, kinga yangu na mkombozi wangu; yeye ni ngao yangu, kwake napata usalama; huyashinda mataifa na kuyaweka chini yangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndiye aniendeaye kwa upole, ni ngome yangu na boma langu. Kwa kuwa ngao yangu na kimbilio langu ndiye aniponyaye, yeye ndiye awashurutishaye walio ukoo wangu, wanitii.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mhisani wangu na boma langu, Ngome yangu na mwokozi wangu, Ngao yangu niliyemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
rafiki yangu wa kweli, kimbilio langu, upango wangu, mukombozi wangu, ngao yangu, yule anayenilinda, yule anayeshinda mataifa na kuyaweka chini yangu.