Psalms 18:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliwapiga maadui mishale yake, akawatawanya, alirusha umeme, akawatimua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Aliipiga mishale yake na kutawanya adui, naam, umeme mwingi wa radi na kuwafukuza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaipiga mishale yake akawatawanya, Naam, umeme mwingi sana, akawatapanya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliwapiga maadui mishale yake, akawatawanya, alirusha umeme, akawatimua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Aliipiga mishale yake na kutawanya adui, naam, umeme mwingi wa radi na kuwafukuza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Aliipiga mishale yake na kutawanya adui, naam, umeme mwingi wa radi na kuwafukuza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaipiga mishale yake akawatawanya, Naam, umeme mwingi sana, akawatapanya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliwapiga maadui mishale yake, akawatawanya, alirusha umeme, akawatimua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipoipiga mishale yake, akawatawanya, ngurumo zilipozidi kuwa nyingi, wakapigwa bumbuazi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaipiga mishale yake akawatawanya, Naam, umeme mwingi sana, akawatapanya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yawe alinguruma kutoka mbingu; Mungu Mukubwa akatoa sauti yake.