Psalms 18:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliniokoa kutoka kwa maadui zangu wenye nguvu nyingi, aliniokoa kutoka kwa hao walionichukia, maana walikuwa na nguvu kunishinda.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Aliniokoa kutoka adui yangu mwenye nguvu nyingi, kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaniokoa na adui yangu mwenye nguvu, Na wale walionichukia, Maana walikuwa na nguvu kuliko mimi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliniokoa kutoka kwa maadui zangu wenye nguvu nyingi, aliniokoa kutoka kwa hao walionichukia, maana walikuwa na nguvu kunishinda.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akaniokoa kutoka adui yangu mwenye nguvu nyingi, kutoka adui zangu, waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi, kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaniokoa na adui yangu mwenye nguvu, Na wale walionichukia, Maana walikuwa na nguvu kuliko mimi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliniokoa kutoka kwa maadui zangu wenye nguvu nyingi, aliniokoa kutoka kwa hao walionichukia, maana walikuwa na nguvu kunishinda.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akaniponya mikononi mwa adui yangu mwenye nguvu, namo mwao walionichukia kwa kuwa na uwezo kuliko mimi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaniokoa na adui yangu mwenye nguvu, Na wale walionichukia, Maana walikuwa na nguvu kuliko mimi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu alinyoosha mukono wake kutoka juu, akanitwaa, alininyanyua kutoka ndani ya maji mengi.