Psalms 18:22 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nimeshika maagizo yake yote, sikuacha kufuata masharti yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu, Wala amri zake sikujiepusha nazo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nimeshika maagizo yake yote, sikuacha kufuata masharti yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu, Wala amri zake sikubandukana nazo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nimeshika maagizo yake yote, sikuacha kufuata masharti yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani maamuzi yake yote yako mbele yangu, nayo maongozi yake sikuyaacha, nisiyafuate.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu, Wala amri zake sikujiepusha nazo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maana nimefuata njia za Yawe, wala sikujitenga na Mungu wangu kwa ajili ya uovu.