Psalms 18:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mbele yake sikuwa na hatia; nimejikinga nisiwe na hatia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nimekuwa sina hatia mbele zake, nami nimejilinda nisitende dhambi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nami nalikuwa mkamilifu mbele zake, Nikajilinda na uovu wangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mbele yake sikuwa na hatia; nimejikinga nisiwe na hatia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nimekuwa sina hatia mbele zake, nami nimejilinda nisitende dhambi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nimekuwa sina hatia mbele zake, nami nimejilinda nisitende dhambi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nami nilikuwa mkamilifu mbele zake, Nikajilinda na uovu wangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mbele yake sikuwa na hatia; nimejikinga nisiwe na hatia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nikawa naye pasipo kuonywa, nikajiangalia, nisimkosee.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nami nalikuwa mkamilifu mbele zake, Nikajilinda na uovu wangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nimeshika maagizo yake yote, sikuacha kufuata masharti yake.