Psalms 18:27 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wewe wawaokoa walio wanyenyekevu, lakini wenye majivuno huwaporomosha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wewe huwaokoa wanyenyekevu, lakini huwashusha wenye kiburi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana Wewe utawaokoa watu wanaoonewa, Na macho ya kiburi utayadhili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wewe wawaokoa walio wanyenyekevu, lakini wenye majivuno huwaporomosha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wewe huwaokoa wanyenyekevu lakini huwashusha wenye kiburi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wewe huwaokoa wanyenyekevu, lakini huwashusha wenye kiburi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana Wewe wawaokoa watu wanaoonewa, Na macho ya kiburi utayadhili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wewe wawaokoa walio wanyenyekevu, lakini wenye majivuno huwaporomosha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani walio wanyonge wewe huwaokoa, lakini macho yajivunayo huyanyenyekeza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana Wewe utawaokoa watu wanaoonewa, Na macho ya kiburi utayadhili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
bila kosa kwa wale ambao hawafanyi makosa, lakini mukali kwa waovu.