Psalms 18:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu ndiye anijaliaye nguvu kila upande; ndiye anayeifanya salama njia yangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mungu ndiye anifungaye mshipi wa nguvu, Naye anaifanya kamilifu njia yangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu ndiye anijaliaye nguvu kila upande; ndiye anayeifanya salama njia yangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mungu ndiye anifungaye mshipi wa nguvu, Naye anaifanya kamilifu njia yangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu ndiye anijaliaye nguvu kila upande; ndiye anayeifanya salama njia yangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ni yeye Mungu aliyenivika nguvu, njia yangu huitengeneza, iwe imenyoka kabisa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mungu ndiye anifungaye mshipi wa nguvu, Naye anaifanya kamilifu njia yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nani anayekuwa Mungu isipokuwa Yawe? Nani anayekuwa kikingio isipokuwa Mungu wetu?