Psalms 18:42 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Niliwatwanga wakawa kama vumbi inayopeperushwa na upepo; niliwakanyaga kama tope la njiani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Niliwaponda kama mavumbi yanayopeperushwa na upepo; niliwamwaga nje kama tope barabarani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nikawaponda kama mavumbi mbele ya upepo, Nikawatupa nje kama matope ya njiani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Niliwatwanga wakawa kama vumbi inayopeperushwa na upepo; niliwakanyaga kama tope la njiani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Niliwaponda wakawa kama mavumbi yanayopeperushwa na upepo, nikawamwaga nje kama tope barabarani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Niliwaponda kama mavumbi yanayopeperushwa na upepo; niliwamwaga nje kama tope barabarani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nikawaponda kama mavumbi mbele ya upepo, Nikawatupa nje kama matope ya njiani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Niliwatwanga wakawa kama vumbi inayopeperushwa na upepo; niliwakanyaga kama tope la njiani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nitawaponda, mpaka wabunguke kama mavumbi upeponi, niwazoe kama mataka yaliyoko viwanjani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nikawaponda kama mavumbi mbele ya upepo, Nikawatupa nje kama matope ya njiani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walitafuta musaada, lakini hakukukuwa wa kuwasaidia; walimulilia Yawe, lakini hakuwajibu.