Psalms 18:43 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wewe uliniokoa na mashambulizi ya watu, ukanifanya mtawala wa mataifa. Watu nisiowajua walinitumikia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu; umenifanya kiongozi wa mataifa; watu ambao sikuwajua wananitumikia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Umeniokoa na mashindano ya watu, Umenifanya niwe kichwa cha mataifa. Watu nisiowajua walinitumikia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wewe uliniokoa na mashambulizi ya watu, ukanifanya mtawala wa mataifa. Watu nisiowajua walinitumikia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu; umenifanya kuwa kiongozi wa mataifa, watu ambao sikuwajua wananitumikia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu; umenifanya kuwa kiongozi wa mataifa, watu ambao sikuwajua wananitumikia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Umeniokoa na mashindano ya watu, Umenifanya niwe kichwa cha mataifa. Watu nisiowajua walinitumikia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wewe uliniokoa na mashambulizi ya watu, ukanifanya mtawala wa mataifa. Watu nisiowajua walinitumikia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwenye magomvi ya watu ulinitoa, ukanipa kuwa kichwa chao wao wamizimu, watu, ambao nilikuwa siwajui, wanitumikie.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Umeniokoa na mashindano ya watu, Umenifanya niwe kichwa cha mataifa. Watu nisiowajua walinitumikia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Niliwatwanga, wakakuwa kama vumbi inayopeperushwa na upepo; niliwakanyaga kama matope katika barabara.