Psalms 18:48 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ameniokoa kutoka kwa maadui zangu, akanikuza juu ya wapinzani wangu, na kunisalimisha mbali na watu wakatili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
aniokoaye na adui zangu. Uliniinua juu ya adui zangu; uliniokoa toka kwa watu wajeuri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Huniponya na adui zangu; Naam, waniinua juu yao walioniinukia, Na kuniponya na mtu wa jeuri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ameniokoa kutoka kwa maadui zangu, akanikuza juu ya wapinzani wangu, na kunisalimisha mbali na watu wakatili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
aniokoaye na adui zangu. Uliniinua juu ya adui zangu; uliniokoa toka watu wajeuri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
aniokoaye na adui zangu. Uliniinua juu ya adui zangu; uliniokoa toka kwa watu wajeuri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Huniponya na adui zangu; Naam, waniinua juu yao walioniinukia, Na kuniponya na mtu mjeuri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ameniokoa kutoka kwa maadui zangu, akanikuza juu ya wapinzani wangu, na kunisalimisha mbali na watu wakatili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wewe ndiwe uliyeniokoa mikononi mwao walio adui zangu, kwao waniinukiao ukaniweka kuwa mkuu wao, kwao walionikorofisha ukaniponya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Huniponya na adui zangu; Naam, waniinua juu yao walioniinukia, Na kuniponya na mtu wa jeuri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yeye ameniwezesha kulipiza kisasi; na kuwaweka mataifa chini ya mamlaka yangu.