Psalms 18:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Moshi ulifuka kutoka puani mwake, moto uunguzao ukatoka kinywani mwake; makaa ya moto yalilipuka kutoka kwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Moshi ukapanda kutoka puani mwake, moto uteketezao ukatoka kinywani mwake, makaa ya moto yanayowaka yakatoka ndani yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kukapanda moshi kutoka puani mwake, Moto ukatoka kinywani mwake ukala, Makaa yakawashwa nao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Moshi ulifuka kutoka puani mwake, moto uunguzao ukatoka kinywani mwake; makaa ya moto yalilipuka kutoka kwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pua zake zilitoa moshi, moto uteketezao ulitoka kinywani mwake, makaa ya moto yawakayo yakatoka ndani mwake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Moshi ukapanda kutoka puani mwake, moto uteketezao ukatoka kinywani mwake, makaa ya moto yawakayo yakatoka ndani mwake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kukapanda moshi kutoka puani mwake, Moto wa kuteketeza ukatoka kinywani mwake, Makaa ya moto yakamtoka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Moshi ulifuka kutoka puani mwake, moto uunguzao ukatoka kinywani mwake; makaa ya moto yalilipuka kutoka kwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Moshi ukapanda puani mwake, moto ulao ukatoka, kinywani mwake, makaa ya moto yakamulikamulika mbele yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kukapanda moshi kutoka puani mwake, Moto ukatoka kinywani mwake ukala, Makaa yakawashwa nao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu dunia ikatetemeka na kutikisika, misingi ya milima ikayumbayumba na kutetemeka, kwa maana Mungu alikuwa amekasirika.