Psalms 19:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yanifunza mimi mtumishi wako; kuyafuata kwaniletea tuzo kubwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena mtumishi wako huonywa kwazo, Katika kuzishika kuna thawabu nyingi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yanifunza mimi mtumishi wako; kuyafuata kwaniletea tuzo kubwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena mtumishi wako huonywa kwazo, Katika kuzishika kuna thawabu kuu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yanifunza mimi mtumishi wako; kuyafuata kwaniletea tuzo kubwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha mtumwa wako huonywa nayo, kuyashika huleta mapato mengi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena mtumishi wako huonywa kwazo, Katika kuzishika kuna thawabu nyingi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yanatamanika kuliko zahabu, kuliko zahabu safi kabisa. Ni matamu kuliko asali, kuliko asali safi kabisa.