Psalms 25:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Unielekee, ee Mungu, unionee huruma, maana mimi ni mpweke na mnyonge.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nigeukie na unihurumie, kwa maana mimi ni mpweke na mwenye kuteseka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Uniangalie na kunifadhili, Maana mimi ni mkiwa na mteswa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Unielekee, ee Mungu, unionee huruma, maana mimi ni mpweke na mnyonge.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nigeukie na unihurumie, kwa maana mimi ni mpweke na mwenye kuteseka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nigeukie na unihurumie, kwa maana mimi ni mpweke na mwenye kuteseka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Uniangalie na kunifadhili, Maana mimi ni mkiwa na mteswa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Unielekee, ee Mungu, unionee huruma, maana mimi ni mpweke na mnyonge.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nigeukie, unihurumie! Kwani mimi niko peke yangu na ukiwa wangu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Uniangalie na kunifadhili, Maana mimi ni mkiwa na mteswa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Unielekee, ee Mungu, unionee huruma, maana mimi ni pekee na zaifu.