Psalms 25:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huwaongoza wanyenyekevu katika uadilifu; naam, huwafundisha hao njia yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huwaongoza wanyenyekevu katika haki, naye huwafundisha njia yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wenye upole atawaongoza katika hukumu, Wenye upole atawafundisha njia yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huwaongoza wanyenyekevu katika uadilifu; naam, huwafundisha hao njia yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huwaongoza wanyenyekevu katika haki, naye huwafundisha njia yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huwaongoza wanyenyekevu katika haki, naye huwafundisha njia yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wenye upole atawaongoza katika haki, Wenye upole atawafundisha njia yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huwaongoza wanyenyekevu katika uadilifu; naam, huwafundisha hao njia yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huongoza wanyonge, wakiamuliwa, kweli hufundisha wanyonge njia yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wenye upole atawaongoza katika hukumu, Wenye upole atawafundisha njia yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anawaongoza wanyenyekevu katika haki; anawafundisha njia yake.