Psalms 32:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu asema: “Nitakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata. Nitakushauri kwa uangalifu mkubwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nitakufundisha na kukuonesha njia utakayoiendea; nitakushauri na kukuangalia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu asema: “Nitakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata. Nitakushauri kwa uangalifu mkubwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; nitakushauri na kukuangalia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; nitakushauri na kukuangalia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nitakufundisha na kukuonesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu asema: “Nitakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata. Nitakushauri kwa uangalifu mkubwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nitakufundisha na kukuonyesha njia, utakayoishika; macho yangu yatakuelekeza, nikikupa shauri.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu anasema: “Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayofuata. Nitakushauria kwa uangalifu mukubwa.