Psalms 34:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mgeukieni Mungu mpate kufurahi; nanyi hamtaaibishwa kamwe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale wamtazamao hutiwa nuru, nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakamwelekea macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao hazitaona haya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mgeukieni Mungu mpate kufurahi; nanyi hamtaaibishwa kamwe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale wamtazamao hutiwa nuru, nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale wamtazamao hutiwa nuru, nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwelekezeeni macho, mpate kufurahi, Na nyuso zenu hazitaaibishwa kamwe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mgeukieni Mungu mpate kufurahi; nanyi hamtaaibishwa kamwe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wanaomtazamia huchagamka, maana nyuso zao hazitatwezwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakamwelekea macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao hazitaona haya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nilimwomba Yawe, naye akanijibu, na kuniondoa katika hofu zangu zote.