Psalms 35:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maneno wasemayo si ya amani, wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hawazungumzi kwa amani, bali wanatunga mashtaka ya uongo dhidi ya wale wanaoishi kwa utulivu katika nchi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana hawasemi maneno ya amani, Na juu ya watulivu wa nchi huwaza hila.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maneno wasemayo si ya amani, wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawazungumzi kwa amani, bali wanatunga mashtaka ya uongo dhidi ya wale wanaoishi kwa utulivu katika nchi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawazungumzi kwa amani, bali wanatunga mashtaka ya uongo dhidi ya wale wanaoishi kwa utulivu katika nchi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana hawasemi maneno ya amani, Ila juu ya watulivu wa nchi huwaza hila.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maneno wasemayo si ya amani, wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani yawezayo kutupatanisha hawayasemi, nao walio watulivu katika nchi huwawazia mambo ya udanganyifu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana hawasemi maneno ya amani, Na juu ya watulivu wa nchi huwaza hila.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hawasemi vizuri juu ya wengine, wanatunga tu uongo juu ya wanainchi watulivu.