Psalms 37:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwovu hula njama dhidi ya mwadilifu, na kumsagia meno kwa chuki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waovu hula njama dhidi ya wenye haki na kuwasagia meno,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Asiye haki hunuia mabaya juu ya mwenye haki, Na kumsagia meno yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwovu hula njama dhidi ya mwadilifu, na kumsagia meno kwa chuki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waovu hula njama dhidi ya wenye haki na kuwasagia meno,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waovu hula njama dhidi ya wenye haki na kuwasagia meno,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Asiye haki hunuia mabaya juu ya mwenye haki, Na kumsagia meno yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwovu hula njama dhidi ya mwadilifu, na kumsagia meno kwa chuki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Asiyemcha Mungu huwaza, jinsi atakavyomponza mwongofu, hukereza meno yake kwa ajili yake yeye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Asiye haki hunuia mabaya juu ya mwenye haki, Na kumsagia meno yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwovu anamufanyia mutu wa haki shauri baya, na kumusagia meno kwa chuki.