Psalms 37:29 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waadilifu wataimiliki nchi, na wataishi humo milele.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wenye haki watairithi nchi, na kuishi humo milele.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wenye haki watairithi nchi, Nao watakaa humo milele.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waadilifu wataimiliki nchi, na wataishi humo milele.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wenye haki watairithi nchi, na kuishi humo milele.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wenye haki watairithi nchi, na kuishi humo milele.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wenye haki watairithi nchi, Nao watakaa humo milele.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waadilifu wataimiliki nchi, na wataishi humo milele.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walio waongofu wataitwaa nchi, wakae humo kale na kale.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wenye haki watairithi nchi, Nao watakaa humo milele.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wa haki watarizi inchi, nao wataishi humo milele.