Psalms 37:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mwadilifu husema maneno ya hekima, kwa ulimi wake hunena yaliyo ya haki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kinywa cha mwenye haki hutamka hekima, nao ulimi wake huzungumza lililo haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kinywa chake mwenye haki hunena hekima, Na ulimi wake husema hukumu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mwadilifu husema maneno ya hekima, kwa ulimi wake hunena yaliyo ya haki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kinywa cha mwenye haki hutamka hekima, nao ulimi wake huzungumza lililo haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kinywa cha mwenye haki hutamka hekima, nao ulimi wake huzungumza lililo haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kinywa chake mwenye haki hunena hekima, Na ulimi wake husema hukumu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mwadilifu husema maneno ya hekima, kwa ulimi wake hunena yaliyo ya haki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kinywa chake mwongofu hueleza yenye werevu wa kweli, ulimi wake husema yaongokayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kinywa chake mwenye haki hunena hekima, Na ulimi wake husema hukumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu wa haki anasema maneno ya hekima, kwa ulimi wake anasema kufuatana na sheria ya Mungu.