Psalms 37:31 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huizingatia moyoni mwake sheria ya Mungu wake; naye hatetereki katika mwenendo wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Torati ya Mungu wake imo moyoni mwake; nyayo zake hazitelezi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake. Hatua zake hazitelezi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huizingatia moyoni mwake sheria ya Mungu wake; naye hatetereki katika mwenendo wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake; nyayo zake hazitelezi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Torati ya Mungu wake imo moyoni mwake; nyayo zake hazitelezi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake. Hatua zake hazitelezi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huizingatia moyoni mwake sheria ya Mungu wake; naye hatetereki katika mwenendo wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maonyo ya Mungu wake yamo moyoni mwake, kwa hiyo hatikisiki atakapokwenda pote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake. Hatua zake hazitelezi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sheria ya Mungu wake ni ndani ya moyo wake, naye hapiti pembeni katika mwenendo wake.