Psalms 37:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mwovu humvizia mtu mwema na kujaribu kumuua;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu waovu huvizia wenye haki, wakitafuta kuwaua;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu asiye haki humvizia mwenye haki, Na kutafuta jinsi ya kumfisha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mwovu humvizia mtu mwema na kujaribu kumuua;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu waovu huvizia wenye haki, wakitafuta kuwaua;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu waovu huvizia wenye haki, wakitafuta kuwaua;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu asiye haki humvizia mwenye haki, Na kutafuta jinsi ya kumwua.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mwovu humvizia mtu mwema na kujaribu kumuua;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Asiyemcha Mungu humwotea mwongofu akitafuta kumwua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu asiye haki humvizia mwenye haki, Na kutafuta jinsi ya kumfisha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu mwovu anamuvizia mutu wa haki, na kujaribu kumwua;