Psalms 37:35 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nilimwona mwovu mdhalimu sana, alijiweka juu ya wote kama mierezi ya Lebanoni!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi kama mwerezi wa Lebanoni,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nimemwona mtu asiye haki mkali sana, Akijieneza kama mwerezi wa Lebanoni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nilimwona mwovu mdhalimu sana, alijiweka juu ya wote kama mierezi ya Lebanoni!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi kama mwerezi wa Lebanoni,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi kama mwerezi wa Lebanoni,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nimemwona mtu asiye haki mkali sana, Akijieneza kama mwerezi wa Lebanoni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nilimwona mwovu mdhalimu sana, alijiweka juu ya wote kama mierezi ya Lebanoni!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nimeona mtu asiyemcha Mungu, akawa mkorofi, akawa mnene sana kama mtamba wenye majani mengi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nimemwona mtu asiye haki mkali sana, Akijieneza kama mwerezi wa Lebanoni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nilimwona mwovu aliyejivuna sana, akinyanyua shingo juu kama mierezi ya Lebanoni!