Psalms 37:38 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini wakosefu wote wataangamizwa; na wazawa wao watafutiliwa mbali.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa, mafanikio yao yatakatiliwa mbali.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakosaji wataangamizwa pamoja, Wasio haki mwisho wao wataharibiwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini wakosefu wote wataangamizwa; na wazawa wao watafutiliwa mbali.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa, mafanikio yao yatakatiliwa mbali.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa, mafanikio yao yatakatiliwa mbali.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakosaji wataangamizwa pamoja, Wasio haki mwisho wao wataharibiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini wakosefu wote wataangamizwa; na wazawa wao watafutiliwa mbali.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini wapotovu huangamizwa wote pamoja, mwisho wao wasiomcha Mungu ni kung'olewa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakosaji wataangamizwa pamoja, Wasio haki mwisho wao wataharibiwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini wakosaji wote wataangamizwa; na wazao wao wataongolewa.